Rais ashraf Ghani wa Afghanistan mapema leo amekimbilia nchi jirani baada ya wanamgambo kuonekana mitaa ya mji mkuu wa nchi hiyo Kabul.Kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habar nchini humo,wanamgambo wa kijihadi wa Taliban wameuzingira mji mkuu wa nchi hiyo pamoja na miji yote mikubwa na maarufu ya Afghanistani.
No comments:
Post a Comment
zaidi